Kutokana
na mkataba wake ambapo atahusika kama mhusika mkuu kwenye season ya
kwanza ya show mpya ya Disney, August Maturo atakua anaingiza dola
32,000 kila mwezi ambazo ni karibia zaidi ya milioni 51.
Show
hiyo imeshakuwa proved kwa ajili ya season nyingine ambapo anaweza
ku-sign mkataba wa pesa nyingi zaidi ya anazopata hivi sasa.
Show hiyo ambayo itakuwa inaonekana kwenye Disney Channel inaitwa Girl Meets World.

0 comments:
Post a Comment