Tukio
hilo lilitokea rasmi juzi kwenye show ya Diamond pale leaders Club
ambapo Diamond aliuliza msahabiki wake kuwa ''Mntaka kumjua mchumba
wangu?'' na
ndipo baada ya muda mfupi alipanda stejini mwanadada Wema Sepetu na
kuanza kucheza na Diamond na kukumbatiana naye kuonesha ishara ya penzi
lao jipya hilo lililorudi kwa kasi.
0 comments:
Post a Comment