Kitendo
cha wanaume kukodolea sana wanawake hasa warembo ndo tatizo
linalowaingiza wanaume wengi kwenye matatizo, leo nawapa siri yangu inayonifanya
nisianguke kwenye tamaa za mara kwa mara, siangalii mwanamke mara
mbili, hata akiwa mzuri namna gani, nikimuona mara ya kwanza sigeuzi
tena shingo kwake. Unajua nini, ukigeuza tena utajikuta unaanza kutamani
ana figure nzuri, mara macho yake noma na hata wale wapenda mizigo
mikubwa utasema lile ---- noma, huo ndo mwanzo wa tamaa na matatizo.
0 comments:
Post a Comment