Saturday, 18 January 2014

BARABARA MPYA MABASI YAENDAYO KASI JIJINI DAR ES SALAAM ZAGEUKA MADAMPO YA TAKATAKA.

Hii ni Barabara Mpya kabisa ya Magari yaendayo kwa kasi Jijini Dar es salaam ambapo sasa Baadhi ya maeneo yamegeuka Madampo ya kutupia takataka kama inavyo onekana pichani. 

0 comments:

Post a Comment